Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 15:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu siku zote za maisha yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kulikuwako vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote alipokuwa mtawala.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kulikuwako vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote alipokuwa mtawala.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kulikuwako vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote alipokuwa mtawala.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote wa maisha ya Abiya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote wa maisha ya Abiya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu siku zote za maisha yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 15:6
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na mambo yake Rehoboamu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu za Wafalme wa Yuda?


Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu siku zote.


Na mambo yote ya Abiya yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu za Wafalme wa Yuda? Kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.