Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 15:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikawa Baasha aliposikia habari hiyo akaacha kuujenga Rama, akaenda akakaa Tirza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme Baasha alipopata habari za mashambulizi hayo aliacha kuujenga mji wa Rama akaishi katika Tirza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme Baasha alipopata habari za mashambulizi hayo aliacha kuujenga mji wa Rama akaishi katika Tirza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme Baasha alipopata habari za mashambulizi hayo aliacha kuujenga mji wa Rama akaishi katika Tirza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baasha aliposikia jambo hili, akasimamisha ujenzi wa Rama, akaenda kuishi Tirsa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati Baasha aliposikia hili, akaacha kuijenga Rama na akaenda kuishi Tirsa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa Baasha aliposikia habari hiyo akaacha kuujenga Rama, akaenda akakaa Tirza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 15:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mkewe Yeroboamu akaondoka, akaenda zake, akafika Tirza; naye alipofika kizingitini kwa nyumba, huyo kijana akafa.


Kisha, Baasha mfalme wa Israeli akashambulia Yuda, akaujenga Rama, ili asimwache mtu yeyote kutoka wala kuingia kwa Asa mfalme wa Yuda.


Katika mwaka wa thelathini na moja wa Asa, mfalme wa Yuda, Omri alianza kutawala juu ya Israeli, akatawala miaka kumi na miwili. Akatawala huko Tirza miaka sita.


Baasha akalala na babaze, akazikwa katika Tirza; naye Ela mwanawe akatawala mahali pake.


Baasha aliposikia habari hiyo, akaacha kuujenga Rama, akaifunga kazi yake.


Mpenzi wangu, u mzuri kama Tirza, Mwenye kupendeza kama Yerusalemu, Wa kutisha kama jeshi lenye bendera.