Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 15:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zao zote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme Asa wa Yuda, na mfalme Baasha wa Israeli, walikuwa na vita kati yao wakati wote walipokuwa wakitawala.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme Asa wa Yuda, na mfalme Baasha wa Israeli, walikuwa na vita kati yao wakati wote walipokuwa wakitawala.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme Asa wa Yuda, na mfalme Baasha wa Israeli, walikuwa na vita kati yao wakati wote walipokuwa wakitawala.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha, mfalme wa Israeli siku zote za utawala wao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zote za utawala wao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zao zote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 15:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu siku zote.


Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zao zote.


Wala hapakuwa na vita tena hata mwaka wa thelathini na tano wa kutawala kwake Asa.