Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 13:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akawaambia wanawe, akasema, Nitandikieni punda. Wakamtandikia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo akawaambia wanawe “Nitandikie punda.” Nao wakamtandikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo akawaambia wanawe “Nitandikie punda.” Nao wakamtandikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo akawaambia wanawe “Nitandikie punda.” Nao wakamtandikia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nabii akawaambia wanawe, “Nitandikieni punda,” nao wakafanya hivyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nabii akawaambia wanawe, “Nitandikieni punda,” nao wakafanya hivyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia wanawe, akasema, Nitandikieni punda. Wakamtandikia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 13:27
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia wanawe, Nitandikieni punda. Wakamtandikia punda, naye akampanda.


Na yule nabii aliyemrudisha njiani alipopata habari, akasema; Ndiye yule mtu wa Mungu, aliyeiasi kauli ya BWANA; kwa hiyo BWANA amempambanisha na simba, simba akamrarua, akamwua, sawasawa na neno la BWANA alilomwambia.


Akaenda, akamwona yule maiti ametupwa njiani, na punda na simba wamesimama karibu na maiti; yule simba alikuwa hakumla maiti, wala hakumrarua punda.