Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 11:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ahiya akalishika lile vazi jipya alilokuwa amelivaa, akalirarua vipande kumi na viwili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mara, Ahiya akalivua vazi lake jipya, akalirarua vipande kumi na viwili,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mara, Ahiya akalivua vazi lake jipya, akalirarua vipande kumi na viwili,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mara, Ahiya akalivua vazi lake jipya, akalirarua vipande kumi na viwili,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye Ahiya akachukua joho jipya alilokuwa amevaa akalirarua vipande kumi na viwili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye Ahiya akachukua joho jipya alilokuwa amevaa akalirarua vipande kumi na viwili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ahiya akalishika lile vazi jipya alilokuwa amelivaa, akalirarua vipande kumi na viwili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 11:30
3 Marejeleo ya Msalaba  

Hao watu wa Israeli wakawajibu watu wa Yuda, wakasema, Sisi tunazo sehemu kumi katika mfalme, tena tunayo haki yetu katika Daudi zaidi kuliko ninyi; mbona basi ninyi mmetudharau sisi, msitake ushauri wetu kwanza katika kumrudisha tena mfalme wetu? Na maneno ya watu wa Yuda yakawa makali kuliko maneno ya watu wa Israeli.