Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 10:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi mfalme Sulemani akawapita wafalme wote wa duniani kwa mali, na kwa hekima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo, mfalme Solomoni aliwapita wafalme wote duniani kwa mali na hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo, mfalme Solomoni aliwapita wafalme wote duniani kwa mali na hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo, mfalme Solomoni aliwapita wafalme wote duniani kwa mali na hekima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri mkubwa na mwenye hekima kuliko wafalme wote wa dunia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mfalme Sulemani alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi mfalme Sulemani akawapita wafalme wote wa duniani kwa mali, na kwa hekima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 10:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitamjalia kuwa mzaliwa wangu wa kwanza, Kuwa juu sana kuliko wafalme wote wa dunia.


Nikatafakari nikisema, Nimejipatia hekima nyingi kupita wote walionitangulia katika Yerusalemu; naam, moyo wangu umeona kwa wingi hekima na maarifa.


Basi nikawa mkuu, nikaongezeka kupita wote walionitangulia katika Yerusalemu; pia hekima yangu nikakaa nayo.


Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii ya kuwahubiria Mataifa utajiri wake Kristo usiopimika;