Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 1:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo wageni wote waliokuwa pamoja na Adonia wakaogopa, wakaondoka, wakaenda zao kila mtu njia yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wageni wa Adoniya wakaogopa sana, wakaondoka na kutawanyika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wageni wa Adoniya wakaogopa sana, wakaondoka na kutawanyika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wageni wa Adoniya wakaogopa sana, wakaondoka na kutawanyika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waliposikia haya, wageni wote wa Adoniya wakainuka kwa hofu na kutawanyika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Katika hili, wageni wote wa Adoniya wakainuka kwa mshtuko wa hofu na kutawanyika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo wageni wote waliokuwa pamoja na Adonia wakaogopa, wakaondoka, wakaenda zao kila mtu njia yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 1:49
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na tena, mfalme akasema hivi, BWANA, Mungu wa Israeli, ahimidiwe, aliyenipa leo hivi mtu wa kuketi katika kiti changu cha enzi, nayo macho yangu yakiwa yanaona hayo.


Adonia naye akaogopa mbele ya Sulemani; akaondoka, akaenda, akazishika pembe za madhabahu.


Mwanangu, mche BWANA, na mfalme; Wala usishirikiane na wenye kigeugeu;


Maana msiba wao utatokea kwa ghafla; Tena ni nani aujuaye uharibifu wa miaka yao.


Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba.