Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 1:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye Yonathani akajibu, akamwambia Adonia, Hakika bwana wetu mfalme Daudi amemtawaza Sulemani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndipo Yonathani alipomjibu Adoniya, “Hapana, kwa sababu mfalme Daudi amemtawaza Solomoni kuwa mfalme;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndipo Yonathani alipomjibu Adoniya, “Hapana, kwa sababu mfalme Daudi amemtawaza Solomoni kuwa mfalme;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndipo Yonathani alipomjibu Adoniya, “Hapana, kwa sababu mfalme Daudi amemtawaza Solomoni kuwa mfalme;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yonathani akamjibu, “La hasha! Mfalme Daudi bwana wetu amemfanya Sulemani kuwa mfalme.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yonathani akajibu, “La hasha! Mfalme Daudi bwana wetu amemfanya Sulemani kuwa mfalme.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Yonathani akajibu, akamwambia Adonia, Hakika bwana wetu mfalme Daudi amemtawaza Sulemani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 1:43
2 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipokuwa katika kunena, tazama Yonathani, mwana wa Abiathari kuhani, akafika. Naye Adonia akasema, Karibu; maana wewe u mtu mwema, unaleta habari njema.


Tena mfalme alipeleka pamoja naye Sadoki, kuhani, na Nathani, nabii, na Benaya, mwana wa Yehoyada, na Wakerethi, na Wapelethi, wakampandisha juu ya nyumbu wa mfalme.