Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Timotheo 6:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Timotheo 6:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akaweka nadhiri akisema, Mungu akiwa pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na nguo nivae;


Akambariki Yusufu, akasema, Mungu ambaye baba zangu, Abrahamu na Isaka, walienenda mbele zake, yeye Mungu aliyenilisha, maisha yangu yote, hata siku hii ya leo,


Utupe leo riziki yetu.


Kwa kuwa BWANA, Mungu wako, amekubariki katika kazi yote ya mkono wako; amejua ulivyotembea katika jangwa kubwa hili; miaka arubaini hii alikuwa nawe BWANA, Mungu wako; hukukosa kitu.


Si kwamba nasema haya kwa kuwa nina mahitaji; maana nimejifunza kuwa radhi na hali yoyote niliyo nayo.