Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Timotheo 5:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana wengine wamekwisha kugeuka na kumfuata Shetani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa maana wajane wengine wamekwisha potoka na kumfuata Shetani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa maana wajane wengine wamekwisha potoka na kumfuata Shetani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa maana wajane wengine wamekwisha potoka na kumfuata Shetani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana kwa kweli wajane wengine wamepotoka ili kumfuata Shetani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana kwa kweli wajane wengine wamepotoka ili kumfuata Shetani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana wengine wamekwisha kugeuka na kumfuata Shetani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Timotheo 5:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.


Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.


Waijua habari hii, ya kuwa wote walio wa Asia waliniepuka, ambao miongoni mwao wamo Figelo na Hermogene.


waliopotoka kutoka kwenye kweli, wakisema ya kwamba kiyama imekwisha tokea, hata kuipindua imani ya watu kadhaa.


Maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu huu wa sasa, akasafiri kwenda Thesalonike; Kreske amekwenda Galatia; Tito amekwenda Dalmatia.


Na wengi watafuata ufisadi wao; na kwa hao njia ya kweli itatukanwa.


akisema juu ya mambo haya kama afanyavyo katika barua zake zote pia, katika barua hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuyaelewa na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wapotoavyo Maandiko mengine, na kujiletea maangamizi wao wenyewe.


Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.


Lile joka kuu likatupwa, yule nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika wake wakatupwa pamoja naye.