Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Timotheo 5:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

nao wana hukumu kwa kuwa wameiacha imani yao ya kwanza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nao wana hukumu kwa kuwa wameiacha imani yao ya kwanza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Timotheo 5:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Israeli ameyatupa yaliyo mema; adui watamfuatia.


mtu akiwa na njaa, na ale nyumbani kwake; msipate kukutanika kwa hukumu. Na hayo yaliyosalia nikija nitayatengeneza.


Nashangaa kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita katika neema ya Kristo, na kugeukia Injili ya namna nyingine.


Bali wajane walio vijana ukatae kuwaandika hao, maana, wakizidiwa na tamaa kinyume cha Kristo, wataka kuolewa;


Tena, pamoja na hayo, hujifunza kuwa wavivu, wakizungukazunguka nyumba kwa nyumba; wala si wavivu tu, lakini ni wachongezi na wadadisi, wakinena maneno yasiyowapasa.


Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi.


Kwa maana wakati umefika wa hukumu kuanza katika nyumba ya Mungu; na ikianza kwetu sisi, mwisho wao wasioitii Injili ya Mungu utakuwaje?