Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 29:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi sasa rudi, uende zako kwa amani, ili usiwachukize hao wakuu wa Wafilisti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo sasa, rudi nyumbani. Nenda kwa amani ili usiwachukize wakuu wa Wafilisti.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo sasa, rudi nyumbani. Nenda kwa amani ili usiwachukize wakuu wa Wafilisti.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo sasa, rudi nyumbani. Nenda kwa amani ili usiwachukize wakuu wa Wafilisti.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Rudi na uende kwa amani; usifanye chochote cha kuwakasirisha watawala wa Wafilisti.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Rudi na uende kwa amani; usifanye chochote cha kuwakasirisha watawala wa Kifilisti.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi sasa rudi, uende zako kwa amani, ili usiwachukize hao wakuu wa Wafilisti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 29:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

Balaamu akamwambia malaika wa BWANA, Nimefanya dhambi; maana sikujua ya kuwa wewe umesimama njiani ili kunipinga; basi sasa, ikiwa umechukizwa, nitarudi tena.


Ndipo Eli akajibu, akasema, Nenda kwa amani; na Mungu wa Israeli akujalie haja yako uliyomwomba.


Ndipo Akishi akamwita Daudi, akamwambia, Aishivyo BWANA, wewe umekuwa mwenye adili, tena kutoka kwako na kuingia kwako pamoja nami katika jeshi ni kwema machoni pangu; kwa sababu mimi sikuona uovu ndani yako tangu siku ile uliponijia hata leo; walakini hao wakuu hawakuridhii.


Naye Daudi akamwambia Akishi, Lakini mimi nimefanyaje? Nawe umeona nini kwangu mimi mtumishi wako, muda wote niliokaa mbele yako hata leo, nisipate ruhusa niende na kupigana na adui za bwana wangu mfalme?