Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 25:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi vijana wake Daudi wakageuka, wakaenda zao, wakarudi, nao wakaja wakamwambia kama walivyoambiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wale vijana wa Daudi walirudi na kumwambia Daudi walivyojibiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wale vijana wa Daudi walirudi na kumwambia Daudi walivyojibiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wale vijana wa Daudi walirudi na kumwambia Daudi walivyojibiwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu wa Daudi wakageuka na kurudi. Walipofika, wakaarifu kila neno.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu wa Daudi wakageuka na kurudi. Walipofika, wakaarifu kila neno.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi vijana wake Daudi wakageuka, wakaenda zao, wakarudi, nao wakaja wakamwambia kama walivyoambiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 25:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Gadi akamwendea Daudi, akamweleza, akamwambia, Basi, miaka saba ya njaa ikujie katika nchi yako? Au miezi mitatu ukimbie mbele ya adui zako, huku wakikufuatia? Au siku tatu iwe tauni katika nchi yako? Amua sasa, ufikiri, ni jawabu gani nimrudishie yeye aliyenituma.


Watiini viongozi wenu, na kuwanyenyekea; maana wao wanakesha kwa ajili ya roho zenu, kama watu watakaotoa hesabu, ili kwamba wafanye hivyo kwa furaha wala si kwa huzuni; maana haitawafaa ninyi.


Basi mimi je! Nitwae mkate wangu, na maji yangu, na machinjo yangu niliyowachinjia hao watu wangu wakatao kondoo wangu manyoya, na kuwapa watu ambao siwajui wametoka wapi?


Kisha Daudi akawaambia watu wake, Haya! Jifungeni kila mtu upanga wake. Nao wakajifunga kila mtu upanga wake; Daudi naye akajifunga upanga wake; nao wakapanda nyuma yake Daudi, wakiwa kama watu mia nne; na watu mia mbili wakakaa na vyombo vyao.