Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 23:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye Daudi akakwea kutoka huko, akakaa katika ngome ya Engedi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Daudi aliondoka mahali hapo, akaenda kuishi kwenye ngome ya mji wa Engedi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Daudi aliondoka mahali hapo, akaenda kuishi kwenye ngome ya mji wa Engedi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Daudi aliondoka mahali hapo, akaenda kuishi kwenye ngome ya mji wa Engedi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye Daudi akakwea kutoka huko na kuishi katika ngome za En-Gedi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye Daudi akakwea kutoka huko na kuishi katika ngome za En-Gedi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Daudi akakwea kutoka huko, akakaa katika ngome ya Engedi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 23:29
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha wakarudi wakaja mpaka Enmisfati, ndio Kadeshi, wakapiga nchi yote ya Waamaleki, na Waamori waliokaa Hasason-tamari.


Wakaja watu waliomwambia Yehoshafati, wakisema, Wanakuja jamii kubwa juu yako watokao Shamu toka ng'ambo ya bahari; na tazama, wako katika Hasason-tamari (ndio Engedi).


Mpendwa wangu ni kama kishada cha hina, Katika mizabibu huko Engedi.


Tena itakuwa, wavuvi watasimama karibu nao; toka Engedi mpaka En-eglaimu, patakuwa ni mahali pa kutandazia nyavu; samaki wao watakuwa namna zao mbalimbali, kama samaki wa bahari kubwa, wengi sana.


na Nibshani, na huo Mji wa Chumvi, na Engedi; miji sita, pamoja na vijiji vyake.


Basi Sauli akarudi kutoka kumwinda Daudi, akaenda kupigana na Wafilisti; kwa hiyo wakapaita mahali pale, Selahamalekothi.


Ikawa, Sauli aliporudi baada ya kuwafuatia Wafilisti, aliambiwa ya kwamba, Daudi yuko katika nyika ya Engedi.


Naye Daudi akamwapia Sauli. Kisha Sauli akaenda zake kwao; lakini Daudi na watu wake wakapanda kwenda ngomeni.