Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 18:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye Sauli akazidi kumwogopa Daudi; tangu wakati huo, Sauli akawa adui yake Daudi daima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

alizidi kumwogopa Daudi. Shauli akawa adui wa Daudi daima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

alizidi kumwogopa Daudi. Shauli akawa adui wa Daudi daima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

alizidi kumwogopa Daudi. Shauli akawa adui wa Daudi daima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sauli akazidi kumwogopa Daudi, naye Sauli akabaki kuwa adui yake siku zote za maisha yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sauli akazidi kumwogopa Daudi, naye Sauli akabaki kuwa adui yake siku zote za maisha yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Sauli akazidi kumwogopa Daudi; tangu wakati huo, Sauli akawa adui yake Daudi daima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 18:29
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tena nikagundua kuwa juhudi zote, na ustadi wote katika kazi, hutokana na mtu kumwonea mwingine wivu. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


Basi tangu siku ile walifanya shauri la kumwua.


Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka.


Sauli akamwogopa Daudi, kwa sababu BWANA alikuwa pamoja naye, ila amemwacha Sauli.


Sauli alipoona ya kwamba alitenda kwa busara sana, yeye alimwogopa.


Sauli akaona na kutambua ya kwamba BWANA alikuwa pamoja na Daudi; na huyo Mikali, binti Sauli, akampenda.


Wakati huo wakuu wa Wafilisti wakatokeza; kisha ikawa, kila mara walipotokeza, Daudi alipata ushindi zaidi kuliko watumishi wote wa Sauli hivyo jina lake likawa na sifa kuu.