Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Petro 5:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtwikeni yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye anajishughulisha sana na mambo yenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtwikeni yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana na mambo yenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Petro 5:7
23 Marejeleo ya Msalaba  

Macho ya BWANA huwaelekea wenye haki, Na masikio yake hukielekea kilio chao.


Umkabidhi BWANA njia yako, Pia umtumainie, naye atakutendea.


Nami ni maskini na mhitaji, Bwana atanitunza. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, Ee Mungu wangu, usikawie.


Umtwike BWANA mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.


Mkabidhi BWANA kazi zako, Na mawazo yako yatakuwa kweli.


Ni yupi kwenu ambaye akijisumbua aweza kujiongeza kimo chake hata mkono mmoja?


Na mavazi, ya nini kuyasumbukia? Fikirini maua ya mashamba, jinsi yameavyo; hayafanyi kazi, wala hayasokoti


Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini?


Naye mwenyewe alikuwapo katika shetri, amelala juu ya mto; wakamwamsha, wakamwambia, Mwalimu, si kitu kwako kuwa tunaangamia?


Akawaambia wanafunzi wake, Kwa sababu hiyo nawaambia, Msisumbukie maisha yenu, mtakula nini; wala miili yenu, mtavaa nini.


Basi, ikiwa hamwezi hata neno lililo dogo, kwa nini kujisumbua kwa ajili ya yale mengine?


Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake.


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.


Naye Daudi akafadhaika sana; kwa sababu watu walikuwa wakisema kwamba apigwe kwa mawe, kwa maana hao watu wote walisononeka, kila mtu kwa ajili ya wanawe na binti zake; lakini Daudi alijitia nguvu katika BWANA, Mungu wake.