Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Petro 5:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Salimianeni kwa busu la upendo. Amani na iwe kwenu nyote, mlio katika Kristo. Amina.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani nyinyi mlio wake Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani nyinyi mlio wake Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani nyinyi mlio wake Kristo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Salimianeni kwa busu la upendo. Amani iwe nanyi nyote mlio katika Al-Masihi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Salimianeni kwa busu la upendo. Amani iwe nanyi nyote mlio katika Al-Masihi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Salimianeni kwa busu la upendo. Amani na iwe kwenu nyote, mlio katika Kristo. Amina.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Petro 5:14
16 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa, je! Nao hawafanyi sawa na hayo?


Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiwe na woga.


Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.


Ikawa jioni, siku ile ya kwanza ya juma, pale walipokuwapo wanafunzi, milango imefungwa kwa hofu ya Wayahudi; akaja Yesu, akasimama katikati, akawaambia, Amani iwe kwenu.


Basi, baada ya siku nane, wanafunzi wake walikuwamo ndani tena, na Tomaso pamoja nao. Akaja Yesu, na milango imefungwa, akasimama katikati, akasema, Amani iwe kwenu.


kwa wote walioko Rumi, wapendwao na Mungu, walioitwa kuwa watakatifu. Neema na iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana Yesu Kristo.


Salimianeni kwa busu takatifu. Makanisa yote ya Kristo yawasalimu.


Sasa, basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu.


Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi;


Ndugu wote wawasalimu. Salimianeni kwa busu takatifu.


Salimianeni kwa busu takatifu. Watakatifu wote wanawasalimu.


Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama! Yamekuwa mapya.


Amani na iwe kwa ndugu, na upendo, pamoja na imani, zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Bwana Yesu Kristo.


Wasalimieni ndugu wote kwa busu takatifu.


kama vile Mungu Baba alivyotangulia kuwajua katika kutakaswa na Roho, hata mkapata kutii na kunyunyiziwa damu ya Yesu Kristo. Neema na amani na ziongezwe kwenu.


Lakini natarajia kukuona karibuni, nasi tutasema uso kwa uso.