Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Petro 3:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye ni nani atakayewadhuru, mkiwa wenye juhudi katika mema?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ni nani atakayeweza kuwadhuru nyinyi kama mkizingatia kutenda mema?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ni nani atakayeweza kuwadhuru nyinyi kama mkizingatia kutenda mema?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ni nani atakayeweza kuwadhuru nyinyi kama mkizingatia kutenda mema?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi, ni nani atakayewadhuru mkiwa wenye juhudi katika kutenda mema?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi, ni nani atakayewadhuru mkiwa wenye juhudi katika kutenda mema?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye ni nani atakayewadhuru, mkiwa wenye juhudi katika mema?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Petro 3:13
13 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, wakilipa mabaya kwa mema, Huwa adui zangu kwa kuwa nilifuata lililo jema.


Mwenye haki hatapatikana na msiba wowote; Bali wasio haki watajazwa mabaya.


Njia ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali humpenda mtu afuatiaye wema.


Njia za mtu zikimpendeza BWANA, Hata adui zake huwapatanisha naye.


Mtwae, umtunze sana, wala usimtende neno baya lolote; lakini umtendee kama atakavyokuambia.


Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema, bali kwa sababu ya matendo mabaya. Basi, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Fanya mema, nawe utapata sifa kwake;


Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.


Ufuatilieni upendo, na kutaka sana karama za rohoni, lakini zaidi kwamba mpate kutoa unabii.


Hivyo mwigeni Mungu, kama watoto wanaopendwa;


Angalieni mtu awaye yote asimlipe mwenziwe mabaya kwa mabaya; bali siku zote lifuateni lililo jema, ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


na awe ameshuhudiwa kwa matendo mema; katika kulea watoto, kuwa mkaribishaji, kuwaosha watakatifu miguu, kuwasaidia wateswao, na kujitolea kutenda wema katika hali zote.


ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wake mwenyewe walio na bidii katika matendo mema.


Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu.