Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Petro 1:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama watoto wa Mungu wenye utii, msikubali kamwe kufuata tena tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama watoto wa Mungu wenye utii, msikubali kamwe kufuata tena tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama watoto wa Mungu wenye utii, msikubali kamwe kufuata tena tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Petro 1:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu.


Wala msifuate kanuni za dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.


Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima.


ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu, na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi;


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo na maana; kwa kuwa kwa sababu ya hayo hasira ya Mungu huwajia wana wa uasi.


Basi isikize sauti ya BWANA, Mungu wako, ufanye maagizo yake na amri zake nikuagizavyo leo.


si katika hali ya tamaa mbaya, kama Mataifa wasiomjua Mungu.


kama vile Mungu Baba alivyotangulia kuwajua katika kutakaswa na Roho, hata mkapata kutii na kunyunyiziwa damu ya Yesu Kristo. Neema na amani na ziongezwe kwenu.