Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 7:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na dada yao, Sera.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hawa ndio wazawa wa Asheri. Asheri alikuwa na wana wanne: Imna, Ishva, Ishri na Beria, na binti mmoja jina lake Sera.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hawa ndio wazawa wa Asheri. Asheri alikuwa na wana wanne: Imna, Ishva, Ishri na Beria, na binti mmoja jina lake Sera.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hawa ndio wazawa wa Asheri. Asheri alikuwa na wana wanne: Imna, Ishva, Ishri na Beria, na binti mmoja jina lake Sera.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na dada yao, Sera.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 7:30
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na Sera, dada yao. Na wana wa Beria ni Heberi, na Malkieli.


Na wana wa Beria; Heberi, na Malkieli, aliyekuwa babaye Birzaithi.