Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 5:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nao wakakaa huko Gileadi, katika Bashani, na katika miji yake, na katika viunga vyote vya Sharoni, hadi mipakani mwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waliishi katika sehemu ya Gileadi, katika Bashani na miji yake na katika malisho yote ya Sharoni, hadi mipakani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waliishi katika sehemu ya Gileadi, katika Bashani na miji yake na katika malisho yote ya Sharoni, hadi mipakani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waliishi katika sehemu ya Gileadi, katika Bashani na miji yake na katika malisho yote ya Sharoni, hadi mipakani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wagadi waliishi Gileadi, huko Bashani pamoja na vijiji vyake, na pia katika maeneo yote ya malisho ya Sharoni kote walikofika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wagadi waliishi Gileadi, huko Bashani pamoja na vijiji vilivyoizunguka, pia katika nchi yote ya malisho ya Sharoni kote walikoenea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wakakaa huko Gileadi, katika Bashani, na katika miji yake, na katika viunga vyote vya Sharoni, hadi mipakani mwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 5:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

na juu ya mifugo iliyolishwa katika Sharoni alikuwa Shitrai, Msharoni; na juu ya mifugo iliyokuwamo mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai;


Ahi, mwana wa Abdieli, mwana wa Guni, alikuwa mkuu wa koo za baba zao.


Mimi ni ua la uwandani, Ni fahirisi ya mabondeni.


Litachanua maua mengi, na kufurahi, naam, kwa shangwe na kuimba; litapewa uzuri wa Lebanoni, utukufu wa Karmeli na Sharoni; watauona utukufu wa BWANA, ukuu wa Mungu wetu.


Na Sharoni itakuwa zizi la makundi ya kondoo, na bonde la Akori mahali pa kulala makundi ya ng'ombe, kwa ajili ya watu wangu walionitafuta.


Na watu wote waliokaa Lida na Sharoni wakamwona, wakamgeukia Bwana.


Musa akawapa kabila la Gadi, hao wana wa Gadi, kwa kadiri ya jamaa zao.


Huo ndio urithi wa wana wa Gadi sawasawa na jamaa zao, miji yake na vijiji vyake.