Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 5:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wana wa Gadi walipakana na wana wa Reubeni, katika nchi ya Bashani mpaka Saleka;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kabila la Gadi lilipakana na kabila la Reubeni upande wa kaskazini, katika nchi ya Bashani iliyoenea mashariki hadi Saleka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kabila la Gadi lilipakana na kabila la Reubeni upande wa kaskazini, katika nchi ya Bashani iliyoenea mashariki hadi Saleka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kabila la Gadi lilipakana na kabila la Reubeni upande wa kaskazini, katika nchi ya Bashani iliyoenea mashariki hadi Saleka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wagadi waliishi jirani nao katika nchi ya Bashani, hadi Saleka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wagadi waliishi jirani nao katika nchi ya Bashani, mpaka Saleka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Gadi walipakana na wana wa Reubeni, katika nchi ya Bashani mpaka Saleka;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 5:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yoeli, alikuwa mkuu wao, na wa pili Shafamu, na Yanai, na Shafati, katika Bashani;


Na wana wa Gadi kwa jamaa zao; wa Sifoni, jamaa ya Wasifoni; wa Hagi, jamaa ya Wahagi; wa Shuni, jamaa ya Washuni;


naye alitawala katika mlima wa Hermoni, na katika Saleka, na katika Bashani yote, hadi mpaka wa Wageshuri, na Wamaaka, na nusu ya Gileadi, mpaka wa huyo Sihoni mfalme wa Heshboni.


na Gileadi na mpaka wa Wageshuri, na Wamaaka, na mlima wa Hermoni wote, na Bashani yote mpaka Saleka;