Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 4:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye Ashuri, babaye Tekoa, alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ashuru, mwanzilishi wa mji wa Tekoa, alikuwa na wake wawili: Hela na Naara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ashuru, mwanzilishi wa mji wa Tekoa, alikuwa na wake wawili: Hela na Naara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ashuru, mwanzilishi wa mji wa Tekoa, alikuwa na wake wawili: Hela na Naara.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Ashuri, babaye Tekoa, alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 4:5
3 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, baada ya kufa kwake Hesroni huko Kalebu-Efrata, ndipo Abia, mkewe Hesroni, alipomzalia Ashuri, babaye Teboa.


na Penueli, babaye Gedori, na Ezeri, babaye Husha. Hao ndio wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrata, babaye Bethlehemu.


Naye Naara akamzalia Ahuzamu, na Heferi, na Temeni, na Ahashtari. Hao ndio wana wa Naara.