Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 4:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na huko Bethueli, na Horma, na Siklagi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Bethueli, Horma, Siklagi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Bethueli, Horma, Siklagi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Bethueli, Horma, Siklagi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bethueli, Horma, Siklagi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bethueli, Horma, Siklagi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na huko Bethueli, na Horma, na Siklagi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 4:30
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi hawa ndio wale waliomjia Daudi huko Siklagi, alipokuwa akijificha kwa ajili ya Sauli, mwana wa Kishi; nao walikuwamo miongoni mwa wale mashujaa, waliomsaidia vitani.


na huko Bilha, na Esemu, na Toladi;


na huko, Beth-markabothi, na Hasar-susimu, na Bethbiri, na Shaaraimu. Hiyo ndiyo miji yao hadi wakati wa kutawala kwa Daudi.


na katika Siklagi, na Mekona na vijiji vyake;


Siklagi, Madmana, Sansana;


Ndipo Akishi akampa Siklagi siku ile; kwa sababu hiyo huo mji wa Siklagi ni mali ya wafalme wa Yuda hata hivi leo.


Ikawa, Daudi na watu wake walipokuwa wamefika Siklagi siku ya tatu, hao Waamaleki walikuwa wameshambulia Negebu, na Siklagi, nao wameupiga Siklagi, na kuuchoma moto;