Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 4:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na mwanawe huyo ni Shalumu, na mwanawe huyo ni Mibsamu, na mwanawe huyo ni Mishma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu; Shalumu alimzaa Mibsamu na Mibsamu akamzaa Mishma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu; Shalumu alimzaa Mibsamu na Mibsamu akamzaa Mishma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu; Shalumu alimzaa Mibsamu na Mibsamu akamzaa Mishma.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na mwanawe huyo ni Shalumu, na mwanawe huyo ni Mibsamu, na mwanawe huyo ni Mishma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 4:25
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Simeoni; Yemueli, na Yamini, na Yakini, na Sohari, na Shauli;


Na wana wa Mishma; mwanawe huyo ni Hamueli, na mwanawe huyo ni Zakuri, na mwanawe huyo ni Shimei.