Na wana wa Simeoni; Yemueli na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.
1 Mambo ya Nyakati 4:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Wana wa Simeoni; Yemueli, na Yamini, na Yakini, na Sohari, na Shauli; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Simeoni alikuwa na wana watano: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli. Biblia Habari Njema - BHND Simeoni alikuwa na wana watano: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Simeoni alikuwa na wana watano: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli. Neno: Bibilia Takatifu Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli. Neno: Maandiko Matakatifu Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli. BIBLIA KISWAHILI Wana wa Simeoni; Yemueli, na Yamini, na Yakini, na Sohari, na Shauli; |
Na wana wa Simeoni; Yemueli na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.
Hao ndio waliokuwa wafinyanzi, na wenyeji wa Netaimu na Gedera; ndipo walipokaa pamoja na mfalme ili kufanya kazi yake.
Na wana wa Simeoni; ni Yemueli, na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli mwana wa mwanamke wa Kikanaani; hao ni jamaa za Simeoni.