Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 4:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wana wa Simeoni; Yemueli, na Yamini, na Yakini, na Sohari, na Shauli;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Simeoni alikuwa na wana watano: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Simeoni alikuwa na wana watano: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Simeoni alikuwa na wana watano: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wana wa Simeoni; Yemueli, na Yamini, na Yakini, na Sohari, na Shauli;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 4:24
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Simeoni; Yemueli na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.


Hao ndio waliokuwa wafinyanzi, na wenyeji wa Netaimu na Gedera; ndipo walipokaa pamoja na mfalme ili kufanya kazi yake.


na mwanawe huyo ni Shalumu, na mwanawe huyo ni Mibsamu, na mwanawe huyo ni Mishma.


Na wana wa Simeoni; ni Yemueli, na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli mwana wa mwanamke wa Kikanaani; hao ni jamaa za Simeoni.