Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 4:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na Reaya, mwana wa Shobali, akamzaa Yahathi; na Yahathi akawazaa Ahumai, na Lahadi. Hizo ndizo jamaa za Wasorathi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Reaya, mwana wa Shobali, alimzaa Yahathi, aliyekuwa baba yake Ahumai na Lahadi, hizo ndizo jamaa za Wasorathi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Reaya, mwana wa Shobali, alimzaa Yahathi, aliyekuwa baba yake Ahumai na Lahadi, hizo ndizo jamaa za Wasorathi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Reaya, mwana wa Shobali, alimzaa Yahathi, aliyekuwa baba yake Ahumai na Lahadi, hizo ndizo jamaa za Wasorathi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizo zilikuwa koo za Wasorathi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Reaya, mwana wa Shobali, akamzaa Yahathi; na Yahathi akawazaa Ahumai, na Lahadi. Hizo ndizo jamaa za Wasorathi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 4:2
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Yuda; Peresi, na Hesroni, na Karmi, na Huri, na Shobali.


Na hawa ndio wana wa babaye Etamu; Yezreeli, na Ishma, na Idbashi; na dada yao aliitwa jina lake Haselelponi;


Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, Sora, Ashna,


Roho ya BWANA ikaanza kumtaharakisha katika Mahane-dani, katikati ya Sora na Eshtaoli.