Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 3:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wana wa Yekonia, huyo aliyechukuliwa mateka; mwanawe Shealtieli,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wana wa Yekonia aliyechukuliwa mateka na Wababuloni walikuwa saba: Shealtieli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wana wa Yekonia aliyechukuliwa mateka na Wababuloni walikuwa saba: Shealtieli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wana wa Yekonia aliyechukuliwa mateka na Wababuloni walikuwa saba: Shealtieli,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hawa walikuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wana wa Yekonia, huyo aliyechukuliwa mateka; mwanawe Shealtieli,

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 3:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Yehoyakimu ni hawa; mwanawe Yekonia, na mwanawe Sedekia.


na Malkiramu, na Pedaya, na Shenazari, na Yekamia, na Hoshama, na Nedabia.


Ndipo akasimama Yoshua, mwana wa Yosadaki, na ndugu zake makuhani, na Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, na ndugu zake, nao wakaijenga madhabahu ya Mungu wa Israeli, ili kutoa sadaka za kuteketezwa juu yake, kama ilivyoandikwa katika Torati ya Musa, mtu wa Mungu.


Katika mwaka wa pili wa kufika kwao katika nyumba ya Mungu, huko Yerusalemu, mwezi wa pili, Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, na Yoshua, mwana wa Yosadaki, na ndugu zao wengine, makuhani na Walawi, na watu wote, waliotoka katika uhamisho na kufika Yerusalemu, wakaanza; nao wakawaweka Walawi, hao wenye miaka ishirini na waliozidi, ili kuisimamia kazi ya nyumba ya BWANA.


Ndipo akaondoka Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, na Yoshua, mwana wa Yosadaki, wakaanza kuijenga nyumba ya Mungu iliyoko Yerusalemu; na pamoja nao walikuwa manabii wa Mungu, wakiwasaidia.


BWANA asema hivi, Andikeni habari za mtu huyu kwamba hana watoto, kwamba mtu huyu hatafanikiwa siku zake zote; maana hapana mtu katika wazao wake atakayefanikiwa, akiketi katika kiti cha enzi cha Daudi, na kutawala tena katika Yuda.


Na baada ya ule uhamisho wa Babeli, Yekonia akamzaa Shealtieli; Shealtieli akamzaa Zerubabeli;