Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 26:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hizo ndizo zamu za mabawabu; wa wana wa Wakora, na wa wana wa Merari.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Haya ndiyo makundi ya mabawabu miongoni mwa ukoo wa Kora na wazawa wa Merari waliofanya kazi ya ubawabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Haya ndiyo makundi ya mabawabu miongoni mwa ukoo wa Kora na wazawa wa Merari waliofanya kazi ya ubawabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Haya ndiyo makundi ya mabawabu miongoni mwa ukoo wa Kora na wazawa wa Merari waliofanya kazi ya ubawabu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hii ilikuwa migawanyo ya mabawabu waliokuwa wazao wa Kora na wa Merari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hii ndiyo iliyokuwa migawanyo ya mabawabu waliokuwa wazao wa Kora na wa Merari.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hizo ndizo zamu za mabawabu; wa wana wa Wakora, na wa wana wa Merari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 26:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakaenda, wakawaita mabawabu wa mji; wakawaambia, Tulifika kituo cha Washami, na tazama, hapana mtu yeyote huko, wala sauti ya mtu, ila farasi wamefungwa, na punda wamefungwa, na hema zao kama walivyoziacha.


Penye Parbari upande wa magharibi, walikuwapo wanne darajani, na wawili huko Parbari.


Na katika Walawi; Ahia mtunzaji wa hazina ya nyumba ya Mungu, pamoja na hazina ya vitu vilivyowekwa wakfu.


Na wana wa Kora; ni Asiri, na Elkana, na Abiasafu; hizo ni jamaa za hao Wakora.


Kwa sababu hii wewe na mkutano wako wote mmekusanyika kinyume cha BWANA; na Haruni, je! Yeye ni nani hata mkamnung'unikia?