Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 24:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kura ya kwanza ikamtokea Yehoiaribu, na ya pili Yedaya;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kura ya 1 ilimwangukia Yoaribu; ya 2 Yedaya;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kura ya 1 ilimwangukia Yoaribu; ya 2 Yedaya;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kura ya 1 ilimwangukia Yoaribu; ya 2 Yedaya;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu, ya pili Yedaya,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu, ya pili Yedaya,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kura ya kwanza ikamtokea Yehoiaribu, na ya pili Yedaya;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 24:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Shemaya, mwana wa Nethaneli, mwandishi, aliyekuwa wa Walawi, akawaandika mbele ya mfalme, na mbele ya wakuu, na Sadoki kuhani, na Ahimeleki, mwana wa Abiathari, na wakuu wa koo za baba za makuhani, na za Walawi; ikatwaliwa ya Eleazari koo moja ya baba, na moja ikatwaliwa ya Ithamari.


ya tatu Harimu, ya nne Seorimu;


Na katika makuhani; Yedaya, na Yehoyaribu, na Yakini;


Makuhani; wazawa wa Yedaya, wa ukoo wa Yeshua, mia tisa sabini na watatu.


Wa makuhani; Yedaya, Yoyaribu, Yakini,


wa Yoyaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;


Makuhani; Wana wa Yedaya, wa mbari ya Yeshua, mia tisa sabini na watatu.