Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 2:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na Dani, na Yusufu, na Benyamini, na Naftali, na Gadi, na Asheri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Dani, na Yusufu, na Benyamini, na Naftali, na Gadi, na Asheri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 2:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


Na wana wa Gadi; Sefoni, na Hagi, na Shuni, na Esboni, na Eri, na Arodi, na Areli.


Na wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na Sera, dada yao. Na wana wa Beria ni Heberi, na Malkieli.


Wana wa Raheli, mkewe Yakobo, Yusufu na Benyamini.


Na wana wa Dani; Hushimu.


Na wana wa Naftali; Yaseeli, na Guni, na Yaseri, na Shilemu.


Hawa ndio wana wa Israeli; Reubeni, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni;


Wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela; ambao hao watatu alizaliwa na binti Shua, Mkanaani. Naye Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa BWANA; naye akamwua.