Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 19:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi Daudi aliposikia habari akamtuma Yoabu, na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye Daudi aliposikia habari hizo alimtuma Yoabu na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye Daudi aliposikia habari hizo alimtuma Yoabu na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye Daudi aliposikia habari hizo alimtuma Yoabu na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Daudi aliposikia habari akamtuma Yoabu, na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 19:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Daudi akasema, Mtu yeyote atakayekuwa wa kwanza wa kuwapiga Wayebusi, yeye atakuwa mkuu na jemadari. Naye wa kwanza aliyepanda ni Yoabu mwana wa Seruya, naye akawa mkuu.


Basi wakakodi magari elfu thelathini na mbili, na mfalme wa Maaka na watu wake; nao walikuja wakatua mbele ya Medeba. Na wana wa Amoni wakakusanyika kutoka miji yao, wakaja vitani.


Wakatoka wana wa Amoni, wakajipanga kwa vita langoni pa mji; na hao wafalme waliokuja walikuwa peke yao uwanjani.