Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 17:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikawa usiku uo huo, neno la Mungu likamjia Nathani, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini usiku uleule, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Nathani, kusema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini usiku uleule, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Nathani, kusema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini usiku uleule, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Nathani, kusema,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiku ule neno la Mungu likamjia Nathani, kusema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiku ule neno la Mungu likamjia Nathani, kusema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa usiku huo huo, neno la Mungu likamjia Nathani, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 17:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tokea siku ile nilipowatoa watu wangu Israeli katika Misri, sikuchagua mji wowote katika kabila zote za Israeli ili kujenga nyumba, jina langu liwe hapo; lakini nilimchagua Daudi awe juu ya watu wangu Israeli.


Naye Nathani akamwambia Daudi, Haya, fanya yote yaliyomo moyoni mwako; kwa maana Mungu yu pamoja nawe.


Nenda, kamwambie mtumishi wangu, Daudi, BWANA asema hivi, Wewe hutanijengea nyumba ya kukaa;


na masikio yako yatasikia neno nyuma yako, likisema, Njia ni hii, ifuateni; mgeukapo kwenda mkono wa kulia, na mgeukapo kwenda mkono wa kushoto.


Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lolote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.


Kisha akawaambia, Sikilizeni basi maneno yangu; Akiwapo nabii kati yenu, Mimi, BWANA, nitajifunua kwake katika maono, Nitasema naye katika ndoto.