Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 16:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yakumbukeni matendo yake yote ya ajabu aliyoyafanya; Miujiza yake na hukumu za kinywa chake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kumbukeni matendo ya ajabu aliyotenda, maajabu yake na hukumu alizotoa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kumbukeni matendo ya ajabu aliyotenda, maajabu yake na hukumu alizotoa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kumbukeni matendo ya ajabu aliyotenda, maajabu yake na hukumu alizotoa,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya, miujiza yake na hukumu alizozitamka,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya, miujiza yake na hukumu alizozitamka,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yakumbukeni matendo yake yote ya ajabu aliyoyafanya; Miujiza yake na hukumu za kinywa chake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 16:12
17 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wazao wa Israeli, mtumishi wake, Enyi wana wa Yakobo, wateule wake.


Yeye, BWANA, ndiye Mungu wetu; Duniani kote kuna hukumu zake.


Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA, Wala usizisahau fadhili zake zote.


Amefanya ukumbusho wa matendo yake ya ajabu; BWANA ni mwenye fadhili na rehema.


Kwa midomo yangu nimezisimulia Hukumu zote za kinywa chako.


Ee BWANA, Wewe ndiwe mwenye haki, Na hukumu zako ni za adili.


Roho yangu imepondeka kwa kutamani Hukumu zako kila wakati.


Najua ya kuwa hukumu zako ni za haki, Ee BWANA, na kwa uaminifu umenitesa.


Kicho cha BWANA ni kitakatifu, Kinadumu milele. Hukumu za BWANA ni kweli, Zina haki kabisa.


Nitayakumbuka matendo ya BWANA; Naam, nitayakumbuka maajabu yako ya kale.


Alivyoziweka ishara zake katika Misri, Na miujiza yake katika uwanda wa Soani.


Kisha itakuwa hapo mwanao atakapokuuliza kesho, akisema, Ni nini hivi? Utamwambia, BWANA alimtoa Misri, kutoka ile nyumba ya utumwa, kwa uwezo wa mkono wake;


Musa akawaambia hao watu, Kumbukeni siku hii, mliyotoka nchi ya Misri, kutoka nyumba ya utumwa; kwa kuwa BWANA aliwatoa mahali hapa kwa nguvu za mkono wake; na usiliwe mkate uliochachwa.


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!


Nikaisikia hiyo madhabahu ikisema, Naam, Bwana Mungu Mwenyezi, hukumu zako ni za kweli, na haki.


kwa kuwa hukumu zake ni za kweli na haki; maana amemhukumu yule kahaba mkuu aliyeiharibu nchi kwa uasherati wake, na kuipatiliza damu ya watumwa wake mkononi mwake.