Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 15:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wa wana wa Uzieli; Aminadabu mkuu wao, na nduguze mia moja kumi na wawili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na kutoka katika ukoo wa Uzieli, wakaja Aminadabu pamoja na ndugu zake 112 chini ya usimamizi wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na kutoka katika ukoo wa Uzieli, wakaja Aminadabu pamoja na ndugu zake 112 chini ya usimamizi wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na kutoka katika ukoo wa Uzieli, wakaja Aminadabu pamoja na ndugu zake 112 chini ya usimamizi wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kutoka wazao wa Uzieli, Aminadabu kiongozi na ndugu zake mia moja na kumi na wawili (112).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kutoka wazao wa Uzieli, Aminadabu kiongozi na ndugu zake 112.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wa wana wa Uzieli; Aminadabu mkuu wao, na nduguze mia moja kumi na wawili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 15:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, Daudi akawaita Sadoki na Abiathari makuhani, na hao Walawi, Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli, na Aminadabu,


wa wana wa Hebroni; Elieli mkuu wao, na nduguze themanini;


Wana wa Kohathi; Amramu, Ishari, Hebroni, na Uzieli, watu wanne.


Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Wana wa Kohathi; mwanawe huyo ni Ishari, na mwanawe huyo ni Kora, na mwanawe huyo ni Asiri;


Na wana wa Amramu; Haruni, na Musa, na Miriamu. Na wana wa Haruni; Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.


Na wana wa Kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na mitatu.


Na wana wa Uzieli; ni Mishaeli, na Elisafani, na Sithri.