Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 12:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ezeri mkubwa wao, Obadia wa pili, Eliabu wa tatu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kiongozi wao mkuu alikuwa Ezeri, wa pili Obadia, wa tatu Eliabu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kiongozi wao mkuu alikuwa Ezeri, wa pili Obadia, wa tatu Eliabu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kiongozi wao mkuu alikuwa Ezeri, wa pili Obadia, wa tatu Eliabu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ezeri alikuwa mkuu wao, Obadia alikuwa wa pili katika uongozi, Eliabu wa tatu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ezeri alikuwa mkuu wao, Obadia alikuwa wa pili katika uongozi, Eliabu wa tatu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ezeri mkubwa wao, Obadia wa pili, Eliabu wa tatu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 12:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Gadi, jeshi litamsonga, Lakini atawasonga wao mpaka visigino.


Na wana watatu wa Seruya walikuwako huko, Yoabu, na Abishai, na Asaheli; na Asaheli alikuwa mwepesi wa miguu kama kulungu.


Mishmana wa nne, Yeremia wa tano;


Na wa Wagadi wakajitenga kumfuata Daudi ngomeni huko nyikani, wanaume mashujaa, watu waliozoea vita, walioweza kutumia ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kama nyuso za simba, nao walikuwa wepesi kama kulungu juu ya milima;


Na Gadi akamnena, Na abarikiwe amwongezaye Gadi; Yeye hukaa kama simba mke, Hurarua mkono, naam, na utosi wa kichwa.