Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 10:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na watu wote wa Yabesh-gileadi waliposikia hayo yote Wafilisti waliyomtenda Sauli,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini watu wa Yabesh-gileadi waliposikia yote Wafilisti waliyomtendea Shauli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini watu wa Yabesh-gileadi waliposikia yote Wafilisti waliyomtendea Shauli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini watu wa Yabesh-gileadi waliposikia yote Wafilisti waliyomtendea Shauli,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakazi wote wa Yabesh-Gileadi waliposikia yale Wafilisti waliyomtendea Sauli,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakazi wote wa Yabeshi-Gileadi waliposikia yote Wafilisti waliyomtendea Sauli,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na watu wote wa Yabesh-gileadi waliposikia hayo yote Wafilisti waliyomtenda Sauli,

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 10:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaziweka silaha zake nyumbani mwa miungu yao, wakakitundika kichwa chake nyumbani mwa Dagoni.


wakainuka mashujaa wote, wakautwaa mwili wake Sauli, na miili ya wanawe, wakaileta Yabeshi, wakaizika mifupa yao chini ya mwaloni huko Yabeshi, nao wakafunga muda wa siku saba.


Basi wakasema, Ni ipi katika makabila ya Israeli ambayo haikufika mbele ya Bwana huko Mispa.