Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 1:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akatawala badala yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shauli alipofariki, Baal-hanani mwana wa Akbori alitawala badala yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shauli alipofariki, Baal-hanani mwana wa Akbori alitawala badala yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shauli alipofariki, Baal-hanani mwana wa Akbori alitawala badala yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akatawala badala yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 1:49
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akafa Shauli, akamiliki Baal-hanani, mwana wa Akbori, badala yake.


Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akatawala badala yake.


Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akatawala badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.