Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 1:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na Nuhu, na Shemu, na Hamu, na Yafethi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lameki akamzaa Noa. Noa alikuwa na wana watatu: Shemu, Hamu na Yafethi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lameki akamzaa Noa. Noa alikuwa na wana watatu: Shemu, Hamu na Yafethi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lameki akamzaa Noa. Noa alikuwa na wana watatu: Shemu, Hamu na Yafethi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wana wa Nuhu walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wana wa Nuhu walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Nuhu, na Shemu, na Hamu, na Yafethi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 1:4
16 Marejeleo ya Msalaba  

Hivi ndivyo vizazi vya wana wa Nuhu, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Na kwao walizaliwa wana wa kiume baada ya gharika.


Baada ya Nuhu kufikisha umri wa miaka mia tano, aliwazaa Shemu, na Hamu, na Yafethi.


BWANA akamwambia Nuhu, Ingia wewe na jamaa yako yote katika safina; kwa maana nimekuona wewe u mwenye haki mbele zangu katika kizazi hiki.


Wana wa Nuhu waliotoka katika safina, ni Shemu, na Hamu, na Yafethi; na Hamu ndiye baba wa Kanaani.


Hawa watatu walikuwa wana wa Nuhu na kwa hao nchi yote ikaenea watu.


Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia tisa na hamsini, akafa.


na Henoko, na Methusela, na Lameki;


Wana wa Yafethi; Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.


wajapokuwa watu hawa watatu, Nuhu, na Danieli, na Ayubu, kuwamo ndani yake, wangejiokoa nafsi zao wenyewe tu kwa haki yao, asema Bwana MUNGU.


Na kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa katika siku zake Mwana wa Adamu.


wa Kenani, wa Arfaksadi, wa Shemu, wa Nuhu, wa Lameki,


Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, aliunda safina, apate kuiokoa nyumba yake. Na hivyo akauhukumu makosa ulimwengu, akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.


wala hakuuachilia ulimwengu wa kale, bali alimhifadhi Nuhu, mjumbe wa haki, na watu wengine saba, hapo alipoleta Gharika juu ya ulimwengu wa wasiomcha Mungu;