Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 1:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na Abrahamu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Isaka, mwana wa Abrahamu, alikuwa na wana wawili: Esau na Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Isaka, mwana wa Abrahamu, alikuwa na wana wawili: Esau na Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Isaka, mwana wa Abrahamu, alikuwa na wana wawili: Esau na Israeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ibrahimu alikuwa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa: Esau na Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ibrahimu alikuwa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa: Esau na Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Abrahamu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 1:34
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na hivi ndivyo vizazi vya Isaka, mwana wa Abrahamu. Abrahamu alimzaa Isaka.


Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.


Yakobo akamwuliza, akasema, Niambie, tafadhali, jina lako? Akasema, Kwa nini waniuliza jina langu? Akambariki huko.


Wana wa Abrahamu; Isaka, na Ishmaeli.


Na wana wa Midiani; Efa, na Eferi, na Hanoki, na Abida, na Eldaa. Hao wote ndio wana wa Ketura.


Abrahamu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;


wa Yakobo, wa Isaka, wa Abrahamu, wa Tera, wa Nahori,


Akampa agano la tohara; basi Abrahamu akamzaa Isaka, akamtahiri siku ya nane. Isaka akamzaa Yakobo. Yakobo akawazaa wale kumi na wawili, wazee wetu.