Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 1:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na Mhivi, na Mwarki, na Msini;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wahivi, Waarki, Wasini,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wahivi, Waarki, Wasini,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wahivi, Waarki, Wasini,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wahivi, Waarki, Wasini,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wahivi, Waariki, Wasini,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Mhivi, na Mwarki, na Msini;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 1:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

na Mhivi, na Mwarki, na Msini,


Kwa habari ya watu wote waliosalia, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi, wasiokuwa wa wana wa Israeli;


na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;


na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.


Itakuwa hapo BWANA atakapowaleta mpaka nchi ya Wakanaani, na Wahiti, na Waamori, na Wahivi, na Wayebusi, nchi hiyo aliyowaapia baba zako kwamba atakupa wewe, ni nchi imiminikayo maziwa na asali, ndipo mtakapoushika utumishi huu katika mwezi huu.


Nami nimesema, Nitawapandisha kutoka katika mateso ya Misri na kuwaingiza katika nchi ya Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, nchi ijaayo maziwa na asali.


nami nimeshuka ili niwaokoe kutoka kwa mikono ya Wamisri, niwapandishe kutoka nchi ile, hadi nchi njema, kisha pana; nchi itiririkayo maziwa na asali; hata mahali pa Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi.