Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Mambo ya Nyakati 1:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wapathrusi Wakaftori na Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti).

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wapathrusi Wakaftori na Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti).

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wapathrusi Wakaftori na Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti).

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Mambo ya Nyakati 1:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti na Wakaftori.


Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,


Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;


kwa sababu ya siku ijayo kuwaangamiza Wafilisti wote, kukatilia mbali kila msaidizi wa Tiro na Sidoni asaliaye; maana BWANA atawaharibu Wafilisti, mabaki ya kisiwa cha Kaftori.


Je! Ninyi si kama wana wa Wakushi kwangu mimi, enyi wana wa Israeli, asema BWANA? Je! Mimi sikuwapandisha Israeli toka nchi ya Misri, na Wafilisti toka Kaftori, na Washami toka Kiri?


na Waavi waliokuwa wakikaa katika vijiji mpaka Gaza waliangamizwa na Wakaftori waliotoka Kaftori, na hawa wakakaa badala yao.)