Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:50 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

Yesu akamwambia, Rafiki, umejia nini? Wakaenda, wakanyosha mikono yao wakamkamata Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamwambia, “Rafiki, fanya ulichokuja kufanya.” Hapo wale watu wakaja, wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamwambia, “Rafiki, fanya ulichokuja kufanya.” Hapo wale watu wakaja, wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamwambia, “Rafiki, fanya ulichokuja kufanya.” Hapo wale watu wakaja, wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamwambia, “Rafiki, fanya kile ulichokuja kufanya hapa.” Kisha wale watu wakasogea mbele, wakamkamata Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamwambia, “Rafiki, fanya kile ulichokuja kufanya hapa.” Kisha wale watu wakasogea mbele, wakamkamata Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akamwambia, Rafiki, fanya ulilolijia. Wakaenda, wakanyosha mikono yao wakamkamata Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:50
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nae akamjibu mmoja wao, akamwambia, Rafiki, sikudhulumu; hukupatana nami kwa dinari?


Akamwambia, Rafiki, uliingiaje humu nawe huna vazi la arusi? Akatekewa.


Yesu akamwambia, Yuda, wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?