Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 20:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; marra macho yao yakapata kuona, wakamfuata.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawahurumia na kuwagusa macho yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao wakamfuata.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawahurumia na kuwagusa macho yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao wakamfuata.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 20:34
20 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akatoka, akaona makutano mengi, akawahurumia, akawaponya wagonjwa wao.


Yesu akawaita wanafunzi wake, akasema, Nawahurumia makutano, kwa kuwa yapata siku tatu wamekaa pamoja nami, hawana kitu cha kula: na kuwaaga wakifunga sitaki, wasije wakazimia njiani.


Wakamwambia, Bwana, macho yetu yafumbuliwe.


HATTA walipokaribia Yerusalemi, na kufika Bethfage, katika mlima wa Mizeituni, ndipo Yesu akatuma wanafunzi wawili,


Akamgusa mkono wake, homa ikamwacha; nae akaondoka, akawatumikia.


Marra akawagusa macho yao, akanena, Kwa kadiri ya imani yenu mpate.


Na alipowaona makutano, akawahurumia, kwa maana walikuwa wamechoka na kutawanyika kama kondoo wasio na mchunga.


Akamtenga na makutano kwa faragha, akatia vidole vyake masikioni mwake, akatema mate, akamgusa nlimi,


Marra akapata kuona, akamfuata, akimtukuza Mungu; na watu wote walipoona wakampa Mungu sifa.


Yesu akajibu, akasema, Acheni kadiri hii. Akamgusa sikio, akamponya.


Na Bwana alipomwona, akamhurumia, akamwambia, Usilie.


uwafumhue macho yao, waiache giza na kuielekea nuru, na waziache nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu, na wapate masamaha ya dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu.


Kwa hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, illi afanye suluhu kwa dhambi za watu wake.


Neno la mwisbo ni hili; mwe na nia moja, wahurumianao, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;