Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili; kwa maana simjui mume?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maria akamjibu, “Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maria akamjibu, “Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maria akamjibu, “Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mariamu akamuuliza huyo malaika, “Maadamu mimi ni bikira, jambo hili litawezekanaje?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mariamu akamuuliza huyo malaika, “Maadamu mimi ni bikira, jambo hili litawezekanaje?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:34
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ataimiliki nyumba ya Yakobo hatta milele; wala ufalme wake hautakuwa na mwisho.


Malaika akajibu, akamwambia, Roho Mtakatifu atakujia, na nguvu zake Aliye juu zitakutilia kivuli: kwa biyo kitakachozaliwa kitakwitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.


Lakini simama, uingie mjini, utaambiwa yatakayokupasa kutenda.