Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wathesalonike 2:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

illi wahukumiwe wote wasioamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, bali wanafurahia dhambi, watahukumiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, bali wanafurahia dhambi, watahukumiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, bali wanafurahia dhambi, watahukumiwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na hivyo wahukumiwe wote ambao hawakuiamini ile kweli, bali wamefurahia uovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na wahukumiwe wote ambao hawakuiamini ile kweli, bali wamefurahia uovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ili wahukumiwe wote ambao hawakuiamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wathesalonike 2:12
21 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waliposikia wakafurahi, wakaahidi kumpa fedha. Akatafuta njia ya kumsaliti wakati wa kufaa.


Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; na asiyemtii Mwana hataona uzima, hali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao haya wamestahili mauti, wanafanya haya, wala si hivyotu, bali wakubaliana nao wayatendao.


Pendo niwe nalo pasipo unafiki; mkichukia lililo ovu, mkiambatana na lililo jema.


na wale wenye fitina, wasioitii kweli, bali wakubalio dhuluma, hasira na ghadhabu;


haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;


Kwa kuwa Mungu hakutuweka kwa hasira vake bali tupate wokofu, kwa Bwana wetu Yesu Kristo,


na katika madanganya yote ya udhalimu kwao wanaopotea: kwa sababu hawakukubali kuipenda kweli, wapate kuokolewa.


Na katika kutamani watajipatia faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa: hukumu yao tangu zamani haikawii, wala upotevu wao hausinzii.


Mpenzi, usiuige ubaya, bali wema. Yeye atendae mema ni wa Mungu, bali yeye atendae mabaya hakumwona Mungu.