Zefania 3:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Lakini Yawe anayekuwa katika muji ule ni mwenye haki, yeye hatendi jambo lolote baya. Kila siku asubui anatangaza hukumu yake, kila kunapopambazuka anaitimiza. Lakini waovu hawana haya hata kidogo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |