Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zefania 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Nanyi inchi ya pembeni ya bahari mutafanywa kuwa shamba la malisho; mutakuwa vibanda vya wachungaji na mazizi ya kondoo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zefania 2:6
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Miji inayokuwa chini yake imeachwa matongo milele. Itakuwa makao ya makundi ya nyama, wala hakuna mutu atakayewatisha.


Wana-kondoo watakula majani kule, kama vile katika shamba la kuwakulishia. Wana-mbuzi wanono watatafuta chakula chao kule kule.


Nayo milima yote iliyokuwa ikilimwa itakuwa imejaa michongoma na miiba, hata hakuna mutu atakayejaribu kwenda kule. Pahali pake itakuwa tu nafasi ya kukulishia ngombe na kondoo.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Pahali hapa ambapo ni jangwa bila watu wala nyama, na katika miji yake yote, patakuwa shamba ambalo wachungaji watakulisha ndani yake makundi yao ya kondoo.


Nitaufanya muji wa Raba kuwa nafasi ya kukulishia ngamia na inchi ya Amoni kuwa zizi la kondoo. Halafu mutatambua kwamba mimi ni Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ