Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zefania 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Yawe anasema hivi: Katika siku ile ya karamu yangu, nitawaazibu wakubwa wa watu hao, vilevile na wana wa mufalme pamoja na wote wanaoiga desturi za kigeni.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zefania 1:8
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Yehu akamwagiza yule aliyesimamia nguo za ibada hivi: “Ondoa nguo na kuwapa watu wote wanaotumikia Bali.” Musimamizi akatoa nguo zile, akawapa.


Wakati Yawe atakapomaliza kazi zake zote kwenye mulima Sayuni na katika Yerusalema, atamwazibu mufalme wa Asuria, kwa sababu ya majivuno na kiburi chake.


Sasa, ee Mungu, umewatupa watu wako, wazao wa Yakobo. Maana kweli wachawi kutoka mashariki wamejaa kati yao; kuna waaguzi kama vile kwa Wafilistini. Wanashirikiana na watu wageni.


Siku ile Yawe ataliazibu jeshi la anga vilevile na wafalme wa dunia.


Tena wamoja kati ya watoto wako wanaume watapelekwa, nao watakuwa matowashi watakaotumika katika nyumba ya mufalme wa Babeli.


Wanawachekelea wafalme, na kuwazarau watawala. Kila kuta kwao ni muzaha, wanailundikia udongo na kuiteka.


“Wanawake wasivae nguo za wanaume, na wanaume wasivae nguo za wanawake. Anayefanya hivyo ni chukizo kwa Yawe, Mungu wenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ