Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




ZAKARIA 4:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Basi, nikamwuliza yule malaika: Bwana, vitu hivi vina maana gani?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




ZAKARIA 4:4
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nao Zerubabeli mwana wa Saltieli, na Yesua mwana wa Yosadaki, walipousikia ujumbe huo wakaanza tena kuijenga nyumba ya Mungu katika Yerusalema, wakisaidiwa na manabii wa Mungu.


Nilisikia lakini sikuelewa. Halafu, nikamwuliza: Bwana wangu, mwisho wa mambo haya yote utakuwa namna gani?


Basi, nikamwuliza: Bwana, farasi hawa wana maana gani? Malaika yule aliyesema nami akaniambia: Nitakuonyesha wale farasi wana maana gani.


Naye akanijibu: Haujui maana ya vitu hivi? Nikamujibu: Sijui bwana wangu.


Nami nikamwuliza: Ni kitu gani hicho? Naye akanijibu: Hicho ni kikapu chenye makosa ya inchi nzima.


Basi, nikamwuliza yule malaika aliyeongea nami: Bwana, magari haya ya vita yana maana gani?


Halafu Yesu akaagana na makundi ya watu na kurudi kwenye nyumba. Wanafunzi wake wakamwendea na kumwambia: “Utufasirie maana ya ule mufano wa nyasi katika shamba.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ